You need to enable JavaScript to run this app.
Nenda kwenye maudhui
Nenda kwenye orodha kuu
Nenda tovuti zaidi za DW
Vidio zetu
Sauti zetu
Maeneo
Tanzania
Kenya
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo
Afrika
Ulaya
Mada
Haki za binadamu
Mazingira
Afya
Teknolojia
Kategoria
Matukio ya Kisiasa
Masuala ya Jamii
Michezo
Sauti zetu
Vidio zetu
Yanayoangaziwa
Mzozo wa Kongo Mashariki
Mzozo wa Israel na Hamas
Kivuli cha Ukoloni wa Ujerumani
Ruth Alonga
Ruka sehemu inayofuata Taarifa na Ruth Alonga
Taarifa na Ruth Alonga
Vikosi vya SADC vyafanya msako dhidi ya M23
Vikosi vya SADC vyafanya msako dhidi ya M23
Vikosi vya SADC na Majeshi ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo vyafanya msako dhidi ya waasi wa M23 na washirika wao.
Mzozo wa Mashariki mwa Kongo wazidi kuleta wasiwasi
Mzozo wa Mashariki mwa Kongo wazidi kuleta wasiwasi
Msaada wa kibinadamu haufiki kwa watu wenye mahitaji na juhudi za kufikisha msaada wa kibinadamu zimekwama.
Athari ya vita katika mfumo wa elimu mjini Goma DRC
Athari ya vita katika mfumo wa elimu mjini Goma DRC
Vita vya M23 vinaathiri mfumo wa elimu huko Goma, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo
Siku ya wanawake: Wanawake Kongo watoa wito wa amani
Siku ya wanawake: Wanawake Kongo watoa wito wa amani
Wakati wanawake duniani kote wakiwa wanatafakari juu ya namna mataifa yalivyopiga hatua kumnyanyua mwanamke katika nyanja mbalimbali, kwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo ni tofauti, wanawake wanatoa wito kwa dunia kuliangalia taifa lao na kufikia muafaka wa amani.
Tshisekedi asema anataka kuzungumza na Rwanda na siyo M23
Tshisekedi asema anataka kuzungumza na Rwanda na siyo M23
Vikosi vya jeshi la Kongo, FARDC, Wazalendo, na vikosi vingine washirika vilipambana haraka, kuzuia jaribio hilo.
Maandamano ya kupinga ukosefu wa usalama yafanyika Goma
Maandamano ya kupinga ukosefu wa usalama yafanyika Goma
Maandamano ya kuishinikiza serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo kuimarisha usalama Mashariki mwa nchi hiyo yamefanyika mjini Goma. Wengi wa waandamanaji wanaitaka Rwanda iache kuwaunga mkono waasi wa M23 madai ambayo Rwanda imeedelea kuyakanusha. Usalama mdogo katika eneo hilo umesababisha baadhi ya wakaazi wa Goma kuanza kuondoka kwenye mji huo.
Onesha taarifa zaidi
Nenda ukurasa wa mwanzo