1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Msichana Jasiri: Watetezi wachanga wa haki za binadamu

22 Desemba 2023

Adeline Adelhard na Adela Adelhard ni dada pacha. Kando na kufanana kwa muonekano pia wanafanana kwenye mitazamo na maono yao. Si ajabu katika umri wa miaka 13, tayari wanatetea haki za watoto nchini Tanzania. Ndio wanatupambia makala ya Msichana Jasiri leo wakiwa Dar es Salaam. Mwenyeji wao ni mtangazaji chipukizi Mitchelle Ceaser

https://p.dw.com/p/4aUvy