1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Madhara ya kiafya kwa madereva wa bodaboda

Deo Kaji Makomba
13 Machi 2024

Makala ya afya yako Deo Kaji Makomba kutoka makao makuu ya Tanzania, Dodoma, anaangazia madhara ya kiafya wanayoweza kuyapata madereva wa pikipiki maarufu kama boda boda ambao hujishughulisha na shughuli za usafirishaji abiria katika maeneo mbalimbali nchini humo.

https://p.dw.com/p/4dTXj