1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Je umri unakuzuia kupata ujauzito?

Lilian Mtono
16 Februari 2023

Si jambo geni kuona wanawake wakijiuliza maswali mengi na hasa inapotokea wanachelewa kupata ujauzito. Wengi hujiona kama wasio na bahati, tena wakiona umri nao unakwenda. Lakini umri na uzazi vnashabihiana vipi? Je ukishavuka miaka 30 inakuwa vigumu kupata ujauzito? Na je kuna suluhu? Ungana na mtaalamu wetu kupata majibu ya maswali kama haya.

https://p.dw.com/p/4NTeX