Miongoni mwa taarifa zilizoandaliwa ni: Ujerumani inapanga kurejesha ushirikiano na Shirika la Umoja wa Mataifa linalotoa misaada kwa wakimbizi wa Kipalestina/ Ripoti ya mashirika ya haki za binadamu ya ndani na nje iliyotolewa leo imeeleza kuwa jumla ya watu 118 walikuwa wahanga wa mauaji wa kiholela yaliyofanywa na polisi nchini Kenya mwaka uliopita