Miongoni mwa taarifa zilizoandaliwa ni: Nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, jana Jumanne, muungano wa vyama vinavyomuunga mkono Rais Félix Tshisekedi, Union sacrée, ulifanya uchaguzi wa mgombea wa kiti cha Spika wa Bunge la Taifa/ Rais wa Iran Ebrahim Raisi yupo katika ziara rasmi ya siku tatu katika mji mkuu wa Pakistan, Islamabad